Smartphones

Infinix Hot S3: Maelezo na Bei yake Tanzania

Bei-ya-Infinix-Hot-S3-Tanzania

Simu murwa ya Infinix Hot S3 hatimaye imewasili Tanzania. Ni habari nzuri sana ukizingatia kuwa simu hii bado haijafika Kenya.

Article-Update

Hot S3 inasifika sana kwa sababu ya kamera yake kali pamoja na kioo kilicho na muundo wa kisasa.

Sifa zake ndizo hizi.

Bei-ya-Infinix-Hot-S3-Tanzania

Kioo

Upana wa Kioo: 5.7-inch

Aina ya Kioo: IPS LCD

Resoluti: 720×1440 Pixels

Umakini wa Resoluti: 282 ppo

Kioo cha Hot S3 ni moja ya sababu kuu ya wewe kununua kifaa hichi. Kioo ni kipana na kina design ya kisasa ya 18:9.

Hii yamaanisha kuwa kama wewe una uraibu wa kutazama video na kucheza gemu kwa simu, Infinix Hot S3 yakufaa.

Design

Infinix-Hot-S3-Tanzania

Saizi: 152.30 x 72.80 x 8.40

Uzani: 150g

Infinix Hot S3 ina design time sana. Wembamba wake utaupenda. Hot S3 ina uzani wa gramu mia na hamsini peke kwa hivyo ni rahisi kuibeba.

CPU na mengineyo

Uendeshaji: Android 8.1

Processor: 1.4GHz octa-core

Saizi ya RAM: 3 GB

Ukubwa wa Memory:  32GB

Memori kadi: Yes, up to 128 GB

Infinix walifanya kazi nzuri sana na CPU ya Hot S3. Sii hii yakupa processor aina 1.4GHz octa-core. Processor hii ina mbio sana. Gemu nzito na applications zacheza vyema kwa hii simu.

Kamera

Sifa-za-Infinix-Hot-S3

Kamera ya nyuma: 13 MP

Kamera ya mbele: 20 MO

Flashi: Ndio

Kamera ndio sababu kuu yakufanya ununue Hot S3. Hii simu yakupa camera ya saizi 20 MP ya kuchukua selfie!

Hii ni pamoja na kamera kali ya 13MP ya kuchukua picha.

Battery

Uwezo wa battery: 4000 mAh

Infinix Hot S3 ina battery yenye uwezo ya 4000 mAh. Hii ya maanisha kuwa waeza itumia hii kwa hadi siku mbili bila ya kuichaji sana sana kama utumizi wako ni wa wastani.

Bei Bora Tanzania

Je wataka kununua Hot S3? Simu hii ina bei ya TSh 489,000 huku Tanzania. Jumia wana offer, ukinunua Hot S3, utapata zawadi ya memori kadi.

Waionaje Infinix Hot S3, tupe maoni yako!

To Top